Nenda kwa yaliyomo

mlinzi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mlinzi (wingi walinzi)

mlinzi mkubwa
  1. mtu anayefanya kazi ya kuchunga usalama wa mahali fulani
  2. ndege wa bahari wa familia Procellariidae

Tafsiri

[hariri]
Wikipedia ya Kiswahili ina makala kuhusu:

sw